Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI

"Maji Bombani"

Majukumu ya Msingi

Ujenzi wa Miradi

Miundombinu ya Maji na Usafi wa Mazingira

Ujenzi wa Miradi

Miundombinu ya Maji na Usafi wa Mazingira
  • Mipango na Usanifu wa Miradi ya Maji na Usafi wa Mazingira
  • Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Maji na Usafi wa Mazingira
Supervision

Uendelevu wa Huduma

Kuendeleza Huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira

Uendelevu wa Huduma

Kuendeleza Huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira
  • Utoaji wa Msaada wa Kiufundi
  • Usimamizi na Uwezeshaji wa CBWSOs
Regulations

Udhibiti wa Huduma

Miongozo na Sera za huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira

Udhibiti wa Huduma

Miongozo na Sera za huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira
  • Kutengeneza Miongozo
  • Kusimamia Miongozo

Huduma za Msingi

Huduma za Usambazaji Maji


RUWASA inajenga na kusimamia huduma za usambazaji maji vijijini.

Huduma za Usafi wa Mazingira


Kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, RUWASA hupanga na kusimamia huduma za maji taka vijijini.

Habari za Karibuni